Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza leo tarehe 08 Septemba, 2021.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia
kikundi cha ngoma za asili cha Chapakazi kilichokuwa kikitumbuiza mara
baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza leo tarehe 08
Septemba, 2021. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment