Kamera ya Michuzi leo Septemba 02,2021 imemnasa Mwendesha baiskeli akikatiza katika viunga vya African Barabara ya Bagamoyo wilaya ya Kinondoni jiji ni Dar es Salaam wakiwa
wamepakia abiria huku hawajavaa kofia ngumu jambo ambalo ni hatari kwa maisha yao. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)
Waendesha Baiskeli wakiwa wamepaki Baiskel zao pembeni ya Kituo
cha Daladala cha African Barabara ya Bagamoyo wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wakisubiri wateja
wanaotoka maeneo mbalimbi ya jiji kama wanvyoonekana pichani. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi TV)
No comments:
Post a Comment