HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 2, 2021

RAIS SAMIA AWASILI NCHINI RWANDA

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali Nchini Rwanda kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku mbili kwa mwaliko wa Rais wa Nchi hiyo Mhe. Paul Kagame leo Agosti 02,2021.


 


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad