HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 29, 2021

VIONGOZI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAFANYA ZIARA ZANZIBAR

 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ikulu - Zanzibar. Uongozi huo unaongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Liberata Mulamula (Mb), Naibu Waziri, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb), Katibu Mkuu, Balozi Joseph Sokoine pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Balozi Fatma Mohammed Rajab katika ziara rasmi ya kujitambulisha kwa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad