HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 29, 2021

BENKI YA CRDB YATEMBELEA MRADI WA UZALISHAJI UMEME WA MAJI WA JULIUS NYERERE

Mhandisi Mkazi wa Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Maji wa Julius Nyerere, Eng. John Mageni (kushoto) akitoa maelezo ya utekelezaji wa mradi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay (wapili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (watatu kulia) wakati ujumbe wa benki hiyo ulipotembelea mradi huo unaofanyika katika bonde la mto Rufiji. Wa mwisho pichani ni Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Eng. Pakaya Daniel.

Mhandisi Mkazi wa Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Maji wa Julius Nyerere, Eng. John Mageni akitoa maelezo ya utekelezaji wa mradi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakati ujumbe wa benki hiyo ulipotembelea mradi huo unaofanyika katika bonde la mto Rufiji. Kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme, Eng. Pakaya Daniel na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi Benki ya CRDB.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (katikati) akiteta jambo na Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme, Eng. Pakaya Daniel wakati ujumbe wa benki hiyo ulipotembelea mradi huo unaofanyika katika bonde la mto Rufiji. Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay.
Naibu Mkurugenzi wa Shirika la Umeme, Eng. Pakaya Daniel akizungumza na ujumbe wa benki ya CRDB  uliotembelea Mradi wa Uzalishaji Umeme wa Maji wa Julius Nyerere wa unaofanyika katika bonde la mto Rufiji.





 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad