HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 21, 2021

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN ALI MWINYI AMEKUTANA NA KUZUNGUMZA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA ELIYA FOOD OVERSEAS LIMITED YA DUBAI

 

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya Eliya Food Overseas Limited kutoka Nchini Dubai, ukiongozwa na Bw. Shabbir Virjee (kulia kwa Rais) walipofika Ikulu kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Ujumbe wa Kampuni ya Eliya Food Overseas Limited kutoka Nchini Dubai, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad