HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 25, 2021

AIRTEL MONEY YAZINDUA “AIRTEL MONEY TUNAKUUNGANISHA NA DUNIA” KUPANUA SEKTA YA HUDUMA ZA KIFEDHA NCHINI

 Kampuni ya simu za mikononi ya Airtel Tanzania kupitia huduma yake ya Airtel Money leo imezindua kampeni maalum itakayojulikana kama ‘’Airtel Money Tunakuunganisha na Dunia’ ambapo itawawezesha wateja wote wa Airtel Money kupokea fedha kutoka nchi Zaidi ya 200 duniani moja kwa moja kupitia akaunti zao za Airtel Money.


Akizungumza jijiji Dar es Salaam leo wakati wa kuitangaza kampeni hiyo, Mkurugenzi wa Airtel Money Isack Nchunda alisema “huduma ya kupokea fedha kutoka nchi zaidi ya 200 itajulikana kama Airtel Money Tunakuunganisha na Dunia” hakuna mipaka wala changamoto ya kupokea fedha kutoka nje ya nchi ukiwa na Airtel Money sasa”

“Huduma hii ni inadhihirisha dhamira yetu ya kuendelea kushirikiana na serikali ili kuleta suluhisho la huduma za kifedha hapa nchini ili kuwafikia Watanzania wengi ambao bado hawajafikiwa na huduma za kibenki. Tunaelewa ya kwamba tunao ndugu, jamaa na marafiki walio nje ya nchi ambao wangependa kutuma fedha kwa ndugu zao watanzania lakini wanakumbana na vikwazo kutokana na hatua nyingi zinazotakiwa wakati wa kutuma fedha nje ya nchi. Airtel Money imekuja na suluhisho, mteja wa Airtel Money anatakiwa kuw na laini ya simu ya Airtel ambayo imesajiliwa tu”. Nchunda alisema.

Nchunda aliongeza kuwa Airtel Money Tunakuunganisha na Dunia itaboresha uchumi shirikishi kati ya familia na marafiki waliopo nje ya nchi kwa kuwa itaongeza uhuru wa kuchangua njia rahisi na ya haraka pale inapohitaji kupokea fedha au kwa wanaotaka kutuma fedha hapa nchini kwa haraka, huku sisi Airtel tukiwa tumejipanga kikamilifu kuendelea kutoa huduma nafuu, salama, haraka bila mipaka.

Nchunda alizitaja baadhi ya nchi ambazo mteja wa Airtel Money ataweza kupokea fedha moja kwa moja kwenye akaunti yake ya Airtel Money ni pamoja na Marekani, Uingereza, Ujerumani, Uswizi, Swedeni, Uholanzi, Italia, Norway pamoja na nchi zote za Afrika Mashariki.

“Mnamo mwishoni mwa mwaka jana, Airtel kwa kushirikiana na WorldRemit, ambayo ni kampuni ya kimataifa ya malipo walizindua mfumo huu wa malipo kwa kuwawezesha wateja wa Airtel Money kupokea fedha moja kwa moja kwenye akaunti zao za Airtel Money kwa nchi Zaidi ya 50. Huu ni muendelezo wa kuhakikisha wateja wetu wanaishi kwenye dunia ya kisasa pamoja na kwenda na mabadiliko ya teknolojia kwenye upande wa kutuma na kupokea fedha kimtandao’, alisema.

“Lengo letu kama kampuni siku zote imekuwa ni kutoa huduma na bidhaa ambazo ni za kipekee na ambazo zinapatikana kwa unafuu ili kuendana na maisha ya kila siku ya wateja wetu. Kwa kuzindua pokea fedha kutoka nchi Zaidi ya 200, tunaileta pamoja jamii kwa kuondoa mipaka kwani wote wataweza kupokea fedha moja kwa moja kwenye akaunti zao za Airtel Money kutoka mataifa mbalimbali’, Nchunda aliongeza.

Airtel Money ni moja ya huduma za fedha kwa njia ya simu za mkononi ambayo inakuwa kwa kasi huku ikiwa hapa nchini ikiwa imeunganisha na makampuni ya malipo ya huduma mbalimbali zaidi ya 1000, pamoja na kuunganisha na taasisi za fedha zaidi ya 40. Vile vile, Airtel Tanzania inazidi kupanua wigo kupitia Airtel Money Branch karibu yako ambapo kwa sasa ina maduka ya Airtel Money Branch zaidi ya 1200 ambayo yanatoa huduma na bidhaa zote za Airtel nchni.


Meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando kulia akiwa na Mkurugenzi wa Airtel Money Isack pamoja na Mkuu wa Chapa wa Airtel Money bi Gilian Rugumamu wakizindua rasmi kampeni maalum itakayojulikana kama ‘’Airtel Money Tunakuunganisha na Dunia’ ambapo itawawezesha wateja wote wa Airtel Money kupokea fedha kutoka nchi Zaidi ya 200 duniani moja kwa moja kupitia akaunti zao za Airtel Money.


Meneja Uhusiano Airtel Jackson Mmbando (kulia) akiongea na waandishi wa habari leo wakati kuzindua kampeni maalum itakayojulikana kama ‘’Airtel Money Tunakuunganisha na Dunia’ ambapo itawawezesha wateja wote wa Airtel Money kupokea fedha kutoka nchi Zaidi ya 200 duniani moja kwa moja kupitia akaunti zao za Airtel Money. Kushoto ni Mkurugenzi wa huduma za Airtel Money.

9 comments:

  1. Is it accurate to say that you are arranging a private gathering for a single guy gathering or private occasion? We are your decision for private gatherings. Our young ladies are best in class with regards to unhitched male or private gatherings. Allow us to liven up your gathering or occasion. Call presently to book the occasion with the young ladies you need.
    Our Cities

    Mp Escort service

    Mathura Escort service

    Bhopal Call Girls service

    Gwalior Call Girl service

    ReplyDelete
  2. ahmedabad Escort service

    alwar Escorts service

    Escort service amravati
    Welcome to Awesome help of Beautiful and Gorgeous Indian escort administration. We are gaining practical experience in giving posh escort models. Each Models working with us are top class models, Air master, house spouse, working young ladies, school young ladies and so on All return from great ground so your and models protection will be kept gotten with us. We offer support in Bhopal Escorts, Indore Escorts Service, Gwalior Escorts Service, Jabalpur Escorts administration , Ujjain Escort Service, solid and numerous different spots in India. Kindly email us at

    Escort in bhagalpur

    ReplyDelete
  3. call girl shahjahanpur

    sikar call girl

    sonipat call girls

    call girl surat

    call girl in vadodara
    Assuming you are searching for an escort in Mp or encompassing urban communities, you have gone to the perfect spot. We are a full assistance grown-up diversion organization for accompanies, get-togethers, supper dates, lone wolf gatherings, and birthday celebrations. Our Escorts are accessible hourly and day by day for dates, knead administrations or grown-up diversion. With regards to Escorts in Mp, realize that you are managing a legitimate escort administration in Mp. Escorts are extremely common in Mp.

    ReplyDelete
  4. Experience Time With Well-trained Delhi Escorts Services
    Get Ready for love with Delhi Escorts girls we offer indigenous call girls at inexpensive prices. All our well-trained Delhi Escort girls skills to treat people and provides them unforgettable pleasure . they're elite, cute, and innocent.Call Now For Booking Us At Pocket Friendly Prices.
    .Delhi Escorts
    Delhi Escort services

    ReplyDelete

Post Bottom Ad