HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 13, 2021

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akishuka kwenye Ndege ya Shirika la Ndege ATCL mara baada ya kuwasili jijini Dodoma leo tarehe 13 Aprili, 2021.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwasili jijini Dodoma leo tarehe 13 Aprili, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwasalimia Marubani pamoja na Wahudumu wa Ndege ya Shirika la Ndege ATCL mara baada ya kuwasili jijini Dodoma leo tarehe 13 Aprili, 2021. (Picha na Ikulu.)

 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad