Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan akishuka kwenye Ndege ya Shirika la Ndege ATCL mara baada ya
kuwasili jijini Dodoma leo tarehe 13 Aprili, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan akiwasili jijini Dodoma leo tarehe 13 Aprili, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia
Suluhu Hassan akiwasalimia Marubani pamoja na Wahudumu wa Ndege ya Shirika la
Ndege ATCL mara baada ya kuwasili jijini Dodoma leo tarehe 13 Aprili, 2021. (Picha na Ikulu.)
No comments:
Post a Comment