HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 8, 2021

HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKIWASILISHA BUNGENI MAPENDEKEZO YA MPANGO WA TATU WA MAENDELEO WA TAIFA WA MIAKA MITANO 2021/22 – 2025/26

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb), akijibu swali la Mbunge wa Jangómbe, Mhe. Ali Hassan Omar King kuhusu wajibu wa kumlipa mteja anayeibiwa fedha kwenya akaunti ya benki muda mchache kabla ya uwasilishaji wa Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, bungeni jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akifurahia jambo na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Bw. Emmanuel Tutuba baada ya kuwasilisha Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, kulia ni baadhi ya viongozi wa Wizara hiyo, bungeni jijini Dodoma. Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WFM.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza na baadhi ya viongozi wa Wizara hiyo baada ya kuwasilisha bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara wa Fedha na Mipango, Bi. Amina Khamis Shaaban, baada ya kuwasilisha bungeni Mapendekezo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26, jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad