HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 26, 2021

BENKI YA NMB YAUNGANA NA WATANZANIA KUOMBOLEZA KIFO CHA HAYATI DKT JOHN POMBE MAGUFULI

 

 

 Akiwakilisha Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Benki ya NMB, Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB - Ruth Zaipuna na baadhi ya viongozi wa Benki hiyo ni miongoni  mwa waombolezaji walioungana na familia, ndugu, jamaa na Watanzania wote katika mazishi ya Buriani Hayati Dkt John Pombe Magufuli mjini Chato.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad