Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Khamis Hamza Khamis(aliyenyoosha
kidole ,akiuliza maswali wakati alipotembela Mradi wa Nyumba nane za
ghorofa ambazo gharama ya mradi huo ni Bilioni Sita huku tayari Rais
John Magufuli amechangia Shilingi Bilioni Tano, nyumba hizo zinatarajiwa
kuhifadhi jumla ya familia themanini za askari.Picha na Wizara ya
Mambo ya Ndani ya NchiNaibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Khamis akikagua
Mradi wa Nyumba nane za ghorofa ambazo gharama ya mradi huo ni Bilioni
Sita huku tayari Rais John Magufuli amechangia Shilingi Bilioni Tano,
nyumba hizo zilizopo eneo la Kikombo jijini Dodoma zinatarajiwa
kuhifadhi jumla ya familia themanini za askari. Anayefuatia ni Kamishna
wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mbaraka
Semwanza.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya NchiNaibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Khamis (katikati),
akikagua ubora wa sakafu alipotembelea Mradi wa Nyumba nane za ghorofa
ambazo gharama ya mradi huo ni Bilioni Sita huku tayari Rais John
Magufuli amechangia Shilingi Bilioni Tano, nyumba hizo zilizopo eneo la
Kikombo, jijini Dodoma zinatarajiwa kuhifadhi jumla ya familia
themanini za askari. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya NchiKamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jesshi la Zimamoto,Mhandisi Julius
Ntambala akitoa maelekezo ya Mradi wa Ujenzi wa Nyumba nane za Ghorofa
kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Khamis
alipotembelea mradi huo ambao gharama ya mradi huo ni Bilioni Sita huku
tayari Rais John Magufuli amechangia Shilingi Bilioni Tano, nyumba hizo
zilizopo eneo la Kikombo, jijini Dodoma zinatarajiwa kuhifadhi familia
themanini za askari.Wakwanza kushoto ni Picha na Wizara ya Mambo ya
Ndani ya NchiNaibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Khamis Hamza Khamis (wapili
kushoto), akiwasili eneo la Kikombo lililopo jijini Dodoma ambako
kunajengwa nyumba nane za ghorofa zinazoonekana pichani ambazo gharama
ya mradi huo ni Bilioni Tano huku tayari Rais John Magufuli amechangia
Shilingi Bilioni Tano, nyumba hizo zinatarajiwa kuhifadhi familia
.Wakwanza kushoto ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jesshi la
Zimamoto,Mhandisi Julius Ntambala Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi.
Tuesday, December 15, 2020
Home
HABARI
NAIBU WAZIRI KHAMIS HAMZA KHAMIS ATEMBELEA MIRADI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI JIJINI DODOMA, AWATAKA KUPITIA NA KUHESHIMU MIKATABA
NAIBU WAZIRI KHAMIS HAMZA KHAMIS ATEMBELEA MIRADI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI JIJINI DODOMA, AWATAKA KUPITIA NA KUHESHIMU MIKATABA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment