Mheshimiwa
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akipata
maelezo kutoka kwa Bw. Edwin Rutageruka Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade
kuhusu Ubora wa Mpira wa Miguu unaotengenezwa nchini kwa kutumia ngozi
za Tanzania.
Watanzania
wanapaswa kujenga Utamaduni wa kununua Bidhaa zinazozalishwa na Viwanda
vilivyopo Nchini ili kukuza Mapato ya Taifa, kuongeza ajira hasa kwa
Vijana kupitia Sekta mbali mbali za uzalishaji ambazo ni kiungo muhimu
katika maendeleo ya Viwanda.
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Hemed Suleiman Abdulla amesema hayo
wakati akiyafunga Maonesho ya Tano ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania
yaliyokuwa yakifanyika katika Uwanja wa Maonesho wa Mwl.J.Kye.Nyerere
Jijijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment