Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM leo tarehe 05
Novemba 2020 mkoani Dodoma.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt.
Mohamed Ali Shein mara baada ya kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya CCM leo tarehe 05 Novemba 2020 mkoani Dodoma.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein
Ali Mwinyi mara baada ya kuongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri
Kuu ya CCM leo tarehe 05 Novemba 2020 mkoani Dodoma.
No comments:
Post a Comment