Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB ambao ndio wadhamini wakuu wa Michuzo ya "CRDB Taifa Cup 2020", Tully Ester Mwambapa (kulia) akiwa kwenye mahojiano na Mtangazaji wa Azam TV, Michael Maluwe walipokuwa wakizungumzia michezo inayoendelea katika viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma leo.Rais wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini, Phares Magesa (mwenye suti) akiwa na ugeni wake kutoka nchini Marekani uliofika katika viwanja vya Chinangali jijini Dodoma, kuangalia vipaji.
No comments:
Post a Comment