Mgombea
Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi
ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi, Wanachama wa Chama
cha Mapinduzi na Wananchi wa CCM Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro
alipowasili katika Uwanja wa Kialawa Turiani kwa ajili ya kuhutubia
mkutano wa Kampeni wa Chama cha Mapinduzi leo Septemba 02,2020.
Wasanii
wa kikundi cha Praygod Masai cha Wilaya ya Mvomero wakitumbuiza kwenye
mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi katika Uwanja wa Kialawa
Turiani leo Septemba 02,2020 ambapo Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan,aliwahutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wa nanchi wa
Wilaya ya Mvomero katika Uwanja wa Kialawa Turiani Morogoro leo
Septemba 02,2020.
Wanachama
wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Wilaya ya Mvomero Mkoani
Morogoro wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,alipokuwa
akihutubia kwenye mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi katika
Uwanja wa Kialawa Turiani leo Septemba 02,2020.
Mgombea
Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi
ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na
Wananchi wa CCM Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro kwenye mkutano wa
Kampeni kwa Chama cha Mapinduzi katika Uwanja wa Kialawa Turiani
Morogoro leo Septemba 02,2020.
Mgombea
Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi
ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanachama wa Chama cha
Mapinduzi na Wananchi wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini alipowasili katika
Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro kwa ajili ya kuhutubia mkutano wa
Kampeni wa Chama cha Mapinduzi leo Septemba 02,2020.
Mgombea
Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi
ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na
Wananchi wa CCM Wilaya ya Morogoro Mjini kwenye mkutano wa Kampeni wa
Chama cha Mapinduzi CCM katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro leo
Septemba 02,2020.
Wanachama
wa Chama cha Mapinduzi CCM na Wananchi wa Wilaya ya Morogoro Mjini
wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa akihutubia
kwenye mkutano wa kampeni wa Chama Cha Mapinduzi katika Uwanja wa
Jamhuri Mkoani Morogoro leo Septemba 02,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
No comments:
Post a Comment