Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipiga
makofi pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha
Mapinduzi CCM wakati wakiimba Wimbo wa Chama kabla ya kuongoza Kikao
hicho cha Kamati Kuu jijini Dodoma leo tarehe 31 Agosti 2020
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi
CCM jijini Dodoma leo tarehe 31 Agosti 2020
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza jambo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed
Shein mara baada ya kutoka kwenye Kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha
Mapinduzi CCM jijini Dodoma leo tarehe 31 Agosti 2020. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment