HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 1, 2020

Kombe La FA Limerejea London!

WIKIENDI hii pazia litafungwa kwenye moja ya mashindano maarufu Uingereza na Ulaya, Kombe la FA. Fainali ya kombe la FA itafanyika katika uwanja wa Wembley kuanzia saa 7:30 wakati mahasimu wawili Arsenal na Chelsea watakuwa wakiwania Taji la mwisho kwa msimu huu. Klabu zote zimezitoa timu mbili imara kwenye hatua ya nusu fainali za kombe la FA –United na City.

Timu ya Mikel Arteta iliwaondosha Manchester City kwa goli 2-0 katika hatua ya nusu fainali, wakati kwa upande wa Chelsea iliwatoa Manchester United kwa 3-1 katika hatua hiyo hiyo ya nusu faianali. "The Gurners" mara ya mwisho kufika fainali za kombe la FA ilikuwa mwaka 2017 na kupata ushindi dhidi ya Chelsea, wakati Chelsea ikiwa ni timu iliyoshinda mara nane FA Cup ilifanikiwa kufika fainali kwa mara ya mwisho mwaka 2018. Vilabu vyote vimefika katika ratiba hii vikiwa vinahistoria ya kushinda michezo ya mwisho ya ligi dhidi ya Watford na Wolves katika michezo ya ligi kuu.

Ukija kwenye mchezo wa leo Chelsea wamepewa nafasi ya kushinda kutokana na kiwango walichokuwa nacho kwenye ligi alama 10 ziliwatenganisha na Arsenal katika ligi kwa msimu huu. Odds nzuri kwa Chelsea ni 2.20, wakati Arsenal akipewa 3.25

Mpaka sasa Arsenal na Chelsea wamekutana mara 20 katika kombe la FA. Arsenal ameibuka mshindi mara tisa, Chelsea mara tano, wakati wakitoka suluhu katika michezo sita.

Ni timu gani iko katika hali nzuri kuelekea katika debi hii? Takwimu zinaonyesha mechi itakuwa "ngumu" siku ya fainali, kwasababu  timu zote zipo katika hali nzuri. Arsenal wamepata ushindi mara tatu na kufungwa mara mbili katika mechi tano zilizopita. Kinachovutia ni kwamba Chelsea wana matokeo kama hayo pia.

Na wewe unasemaje?Unajizatiti na Arsenal pamoja na kuwa na takwimu mbovu katika Ligi msimu huu? Au ni shabiki kindaki ndaki wa Chelsea, unayependelea mtanange dhidi ya arsenal? Kama ni hivyo weka bashiri yako katika sehemu sahihi, Bashiri jamvi lako na Meridianbet!

Ukiwa na Meridian, ubashiri wa mtandaoni haujawahi kuwa mwepesi na rahisi kama sasa.  
Jisajili tu na meridianbet hapa www.meridianbet.co.tz na furaha itaanzia hapo. Pakua App ya Meridianbet kwenye simu yako na uanze kubashiri kwa uhuru nyumbani kwako. Pia unaweza kuweka pesa kwenye akaunti yako kupitia KwikPay, M-PESA au Airtel Money.  Kumbuka daima hauwezi kupoteza tiketi yako ya kwanza ukiwa na Meridianbet, Tuna Bonasi ya 100%  inakusubiri.

Milipaji wa Meridian – Nyumba ya nonasi kubwa na odds bora!  

16 comments:

  1. Kivumbi cha ukweli yaani mtoto hatumwi dukani.

    ReplyDelete
  2. Chelsea wameniangusha japo kuwa walibebwa asernal.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad