Kamishna
wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas
akipokelewa na Maafisa wa Jeshi la PolIsi Mkoani Songwe baada ya
kuwasili jana jioni kufuatia mauaji ya mmasai mmoja alieuliwa na wafuasi
wa Chadema juzi katika Ofisi ya Mtendaji Kata ya Mwaka Kati iliyopo
Halmashauri ya Mji wa Tunduma.
Kamishna
wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas,
akiongea na Waandishi wa Habari njee ya Kituo cha Polisi Tunduma kabla
ya kwenda kukagua eneo yalipotokea mauaji ya mtu mmoja katika
Halmashauri ya Mji wa Tunduma kwenye Ofisi ya Mtendaji Kata ya Mwaka
Kati.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus
Sabas wa kwanza kulia akiwa na Kamanda wa Mkoa wa Songwe RPC George
Kiando pamoja na Maafisa wengine wamewasili katika Ofisi ya Mtendaji
Kata ya Mwaka Kati kwaajili ya ukaguzi na kuona eneo ambalo wafuasi wa
Chadema waliposaabisha mauaji ya mtu huyo.
(Picha na Jeshi la Polisi)
No comments:
Post a Comment