Mapema leo Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini
CP Liberatus Sabas, amewasili mkoani Iringa kwaajili ya ukaguzi wa
utayari wa Askari mkoani humo katika hichi kipindi cha kuelekea uchaguzi
Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani. (PICHA NA JESHI LA POLISI)
Mwenyekiti
wa Karate Mkoa wa Iringa Hamidu akiwa katika mazoezi ya utayari na WP
Yasinta wakimuonyesha Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la
Polisi Nchini CP Liberatus Sabas, ambaye hayupo pichani wakati
alipowasili katika viwanja vya Kikosi cha kutuliza Ghasia mkoani humo.
(PICHA NA JESHI LA POLISI)
Kamishna
wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi Nchini CP Liberatus Sabas,
aliesimama akiongea, Maafisa na Wakaguzi pamoja na Askari wa Mkoa wa
Iringa baada ya kuwasili katika ukumbi wa Polisi Mess wa mkoani humo.
(PICHA NA JESHI LA POLISI)
No comments:
Post a Comment