Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini, Mhe. Wang Ke alipokutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.PICHA NA IKULU.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke
alipokutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam
Februari 5, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke alipokutana na
kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.
Kulia ni Mkuu wa Itifaki Kanali Wilbert Ibuge.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika mazungumzo na Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) hapa
nchini Balozi Manfredo Fanti aliyeongozana na Balozi Emilio Rosetti
alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) hapa nchini Balozi
Manfredo Fanti aliyeongozana na Balozi Emilio Rosetti alipokutana naye
Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiongea na Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) hapa nchini Balozi
Manfredo Fanti aliyeongozana na Balozi Emilio Rosetti alipokutana naye
Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimsindikiza baada ya mazungumzo Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU)
alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na Mwakilishi wa Jumuiya ya Ulaya (EU) hapa nchini Balozi
Manfredo Fanti baada ya kukutana naye Ikulu jijini Dar es salaam
Februari 5, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika (SADC) Dkt. Stergomena Tax alipokutana na kufanya naye
mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimsindikiza Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika (SADC) Dkt. Stergomena Tax baada ya kukutana na kufabya naye
mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020
Ch1 na ch2: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akisalimiana na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Wang Ke
alipokutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam
Februari 5, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Bw. Mkundi Mutasa aliyeongozana na Katibu Mtendaji wa
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Dkt. Stergomena Tax
aliyekutana naye kwa mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5,
2020. Kulia ni Mkuu wa Itifaki Kanali Wilbert Ibuge
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa katika mazungumzo na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika (SADC) Dkt. Stergomena Tax aliyeongozana na Afisa
wake mwandamizi Bw. Mkundi Mutasa alipokutana na kufanya naye
mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Februari 5, 2020.
No comments:
Post a Comment