Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akihutubia viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania 
katika mkutano wa 18 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika na 
Nordic uliofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere International 
Convention Centre(JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa 
nchi za Afrika na Nordic mara baada ya mkutano huo wa Nordic uliofanyika
 katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre(JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway Ine Marie 
Eriksen Soreide kabla ya kuanza mazungumzo katika ukumbi wa Julius 
Nyerere International Convention Centre (JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sweden Ann
 Linde katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre 
(JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway Ine
 Marie Eriksen Soreide mara baada ya kufungua mkutano wa 18 wa Mawaziri 
wa nchi za Afrika na Nordic uliofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere 
International Convention Centre (JNICC)
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akiagana na Balozi wa Tanzania nchini Sweden Dkt. Wilbroad Slaa
 mara baada ya kufungua mkutano wa 18 wa Mawaziri wa nchi za Afrika na 
Nordic uliofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere International 
Convention Centre (JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya 
Kikwete mara baada ya kufungua mkutano wa 18 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje
 wa nchi za Afrika na Nordic uliofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere
 International Convention Centre (JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe 
Magufuli akizungumza jambo  na Waziri wa Mambo ya Nje wa Sweden Ann 
Linde mara baada ya kumkabidhi zawadi ya Kamusi ya Kiswahili na 
Kingereza pamoja na kitabu cha Kiswahili mara baada ya kufungua mkutano 
wa Nordic uliofanyika  katika ukumbi wa Julius Nyerere International 
Convention Centre (JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe 
Magufuli akimkabidhi zawadi ya kinyago cha mpingo Waziri wa Mambo ya Nje
 wa Norway Ine Marie Eriksen Soreide kabla ya kuanza mazungumzo yao 
katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Finland  Pekka Haavisto  kabla ya kuanza mazungumzo yao katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC). PICHA NA IKULU














No comments:
Post a Comment