HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 11, 2019

WAZIRI MKUU AZINDUA MAFUNZO YA KILIMO KUPITIA TEKINOLOJIA YA KITALU NYUMBA


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane, Ngongo mkoani Lindi, Oktoba 10, 2019. Wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Jenista  Mhagama na  kulia ni Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar, Balozi Ali Karume. Wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Tausi Hassan kutoka  Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu   (UNFPA). (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama nyanya wakati alipozindua  mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane, Ngongo, Lindi Oktoba 10, 2019. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizindua Mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane wa Ngongo, Lindi Oktoba 10, 2019. Wa tatu  kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Jenista  Mhagama na  wa pili kulia ni Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar, Balozi Ali Karume.  Wa tatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Lindi, Fadhili Juma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Vijana, Kazi na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (wa pili kulia) na Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar, Balozi Ali Karume (kulia) wakifurahia baada ya Waziri Mkuu kuzindua  Mradi wa mafunzo ya kilimo kupitia tekinolojia ya kitalu nyumba kwenye viwanja vya Nanenane, Ngongo, Lindi Oktoba 10, 2019. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na  viongozi mbalimbali na baadhi ya washiriki wa Maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa yaliyofanyika kwenye  viwanja vya Mpilipili mjini Lindi, Oktoba 10, 2019. Waliokaa kutoka kushoto ni  Tausi Hassan kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA),  Waziri wa Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo wa Zanzibar,  Balozi Ali Karume, Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Anthony Mavunde na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Lindi, Fadhili Juma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad