HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, October 29, 2019

WAZIRI MKUU AREJEA NCHINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ,Oktoba 29, 2019 wakati alipowasili nchini akitoka nchini Azerbaijan ambako alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli katika mkutano wa Nchi zisizofungamana na upande wowote ulifanyika jijini Baku. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad