HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, October 9, 2019

MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB ATEMBELEA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akitoa huduma kwa mteja aliyepiga simu katika kitengo cha huduma kwa wateja cha benki hiyo, ikiwa ni muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja inayoendelea hivi sasa Duniani kote. Kushoto ni Afisa wa Benki ya CRDB Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Maria Nyabitwano.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akifatilia maoni ya wateja mbalimbali waliyoyatuma kupitia mitandao ya kijamii, ikiwa ni muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja inayoendelea hivi sasa Duniani kote.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiuliza jambo kwa Afisa wa Benki ya CRDB Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Emmanuel Chance kutoka kwenye moja ya barua pepe iliotumwa na mteja, ikiwa ni muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja inayoendelea hivi sasa Duniani kote. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Yolanda Uriyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akimsikiliza Kiongozi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Marvel Kyando alipokuwa akimueleza namna huduma hiyo inavyotokewa na kitengo hicho.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad