HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 12, 2019

MAJALIWA AZUNGUMZA NA WADAU WA MAENDELEO WA MANISPAA YA LINDI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha Wadau wa Maendeleo wa Manispaa ya Lindi kwenye ukumbi wa Hoteli ya Sea View mjini Lindi, Oktoba 12, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha Wadau wa Maendeleo wa Manispaa ya Lindi kwenye ukumbi wa Hoteli ya Sea View mjini Lindi, Oktoba 12, 2019. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Rehema Madenge. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad