HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, September 26, 2019

ZIMAMOTO NCHINI YAPOKEA MSAADA WA BOTI YA MAOKOZI MAJINI

 Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CF) Billy Mwakatage, akizungumza na Waandishi wa habari wakati wa kupokea msaada wa boti ya maokozi uliotolewa na Serikali ya Ujerumani kupitia Mjini wa Hamburg. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 
 Kiongozi wa Kikosi cha Wazamiaji majini wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Stesheni Sajini  Saidi Sekibojo, akitoa maelezo jinsi vifaa mbalimbali vinavyotumiwa na wazamiaji wanapotekeleza majukumu yao katika uokoaji majini, wakati wa kupokea msaada wa boti ya maokozi uliotolewa na Serikali ya Ujerumani kupitia Mjini wa Hamburg. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 
 Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CF) Billy Mwakatage, akiwa kwenye picha ya pamoja na askari wa kikosi cha uzamiaji majini cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kinachoongozwa na Stesheni Sajini  Saidi Sekibojo, wakati wa kupokea msaada wa boti ya maokozi uliotolewa na Serikali ya Ujerumani kupitia Mjini wa Hamburg. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji 
Boti ya maokozi iliyotolewa msaada na Nchi ya Ujerumani kupitia Mji wa Hamberg kwa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji itakayo saidia katika shughuli ya uokoaji majini. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

IMEANDALIWA NA KITENGO CHA HABARI NA MAWASILIANO - JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI MAKAO MAKUU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad