HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 30, 2019

MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA DENMARK, UFARANZA NA QATAR HAPA NCHINI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Denmark hapa Nchini Bibi.Mette Norgaard Dissing Spandet wakati Balozi Spandet alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikuklu Jijini Dar Es salaam leo Sept 30,2019 kwa ajili ya kujitambulisha.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Denmark hapa Nchini Bibi.  Mette Norgaard Dissing Spandet wakati Balozi Spandet alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikuklu Jijini Dar Es salaam leo Sept 30,2019. kwa ajili ya kujitambulisha.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Ufaransa hapa Nchini Bw. Frederic Clavier wakati Balozi Clavier  alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikuklu Jijini Dar Es salaam leo Sept 30,2019 kwa ajili ya kuelezea Mipango na Mlengo ya maendeleo ya Nchi yake kwa Tanzania.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Ufaransa hapa Nchini Bw. Frederic Clavier  wakati Balozi Clavier alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikuklu Jijini Dar Es salaam leo Sept 30,2019 kwa ajili ya kuelezea Mipango na Mlengo ya maendeleo ya Nchi yake kwa Tanzania.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Qatar hapa Nchini Bw. Abdulla Jassim Al-Maadadi wakati Balozi Al-Maadadi  alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Jijini Dar Es salaam leo Sept 30,2019 kwa ajili kuaga baada ya kumaliza kipindi chake cha kazi hapa Nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Qatar hapa Nchini Bw. Abdulla Jassim Al-Maadadi wakati Balozi Al-Maadadi alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikuklu Jijini Dar Es salaam leo Sept 30,2019 kwa ajili kuaga baada ya kumaliza kipindi chake cha kazi hapa Nchini..(Picha na Ofisi ya Makamu ya Rais)


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad