HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 20, 2019

DKT. CHEGENI AONGOZA MAZUNGUMZO NA CHAMA CHA WABUNGE CHA KUPAMBANA NA MALARIA CHA UINGEREZA NA UJERUMANI JIJINI DODOMA


 Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA) ambae alimuwakilisha Spika Ndugai, Mhe. Dkt. Raphael Chegeni (Kushoto) akiongozana na Kiongozi wa msafara wa Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani, Ndg. Jeremy Lefroy baada ya kutembelea Ukumbi wa Bunge Bungeni Jijini Dodoma. 
 

 Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA), Mhe. Dkt. Raphael Chegeni akizungumza na Wabunge kutoka Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA) na Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Dkt. Chegeni alimuwakilisha Spika Ndugai katika mazungumzo hayo
 Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA), Mhe. Riziki Lulida akizungumza jambo wakati wa kikao cha hicho na Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 Mbunge kutoka Uingereza, Mhe. Dkt. Paul William akizungumza jambo wakati wa mazungumzo ya Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania na Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA), Mhe. Dkt. Raphael Chegeni (kulia) akipokea zawadi ya kikombe kwa niaba ya Spika Ndugai kutoka kwa Kiongozi wa msafara wa Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani, Ndg. Jeremy Lefroy baada ya kutembelea Ukumbi wa Bunge Bungeni Jijini Dodoma. 

 Katibu wa Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA), Mhe. Dkt. Raphael Chegeni (mbele wanne kulia) katika picha ya pamoja na Wabunge kutoka Chama cha Wabunge cha Kupambana na Malaria na Magonjwa yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele Tanzania (TAPAMA) na Chama cha Wabunge kutoka Uingereza na Ujerumani katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. (PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad