HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, September 6, 2019

BENKI YA CRDB YASHIRIKI KONGAMANO LA BIASHARA KATI YA TANZANIA NA UGANDA, JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tazania Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakati wa kutembelea mabanda mbalimbali katika kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda, lililofunguliwa leo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni na Mwenyeji wake Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli wakisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakati walipotembelea mabanda kwenye Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda lililofunguliwa leo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza na Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa nchini (MSD), Laurean Rugambwa Bwanakunu walipokuwa kwenye ufunguzi wa Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Uganda lililofunguliwa leo kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad