HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 9, 2019

BENKI YA CRDB YADHAMINI MAONYESHO YA VIWANDA MKOA WA PWANI 2019

 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Everist Ndikilo akizungumza wakati wa kikao chake na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) kuzungumzia udhamini wa Benki hiyo kwenye Maonyesho ya Wiki ya Viwanda mkoa wa Pwani 2019 yatakayofanyika kati ya Oktoba 29 hadi Novemba 4, 2019, Kibaha Mkoani Pwani. Benki ya CRDB imedhamini maonyesho hayo kwa kutoa kiasi cha Milioni 60.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (katikati) akifafanua jambo wakati wa kikao na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Everist Ndikilo (kulia) wakati wa kuzungumzia udhamini wa Benki hiyo kwenye Maonyesho ya Wiki ya Viwanda mkoa wa Pwani 2019 yatakayofanyika kati ya Oktoba 29 hadi Novemba 4, 2019, Kibaha Mkoani Pwani. Benki ya CRDB imedhamini maonyesho hayo kwa kutoa kiasi cha Milioni 60. Kushoto ni Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya CRDB, Dkt. Joseph Witts.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani Bi. Theresia Mmbando (aliyesimama) akizungumza jambo wakati akitoa utambulisho kwa ugeni aliofatana nao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad