HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 29, 2019

Waziri Mwakyembe Akutana na Kujadiliana na Wahariri Juu ya Tamasha la JAMAFEST

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akisisitiza jambo kwa Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakati alipokutana nao leo29 Agosti, 2019 jijini Dar es Salaam kuzungumzia Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika hapa nchini kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.

  Baadhi ya Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakimsikiliza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) wakati alipokutana nao leo 29 Agosti, 2019 jijini Dar es Salaam kuzungumzia Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika hapa nchini kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akifafanua  jambo kwa Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakati alipokutana nao leo29 Agosti, 2019  jijini Dar es Salaam kuzungumzia Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika hapa nchini kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
 Baadhi ya Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakimsikiliza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) wakati alipokutana nao leo29 Agosti, 2019  jijini Dar es Salaam kuzungumzia Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika hapa nchini kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Mhariri Mkuu wa E. FM Radio, Scholastica Mazula akichangia mada wakati Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe alipokutana na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari leo  29 Agosti, 2019 jijini Dar es Salaam kuzungumzia Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika hapa nchini kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Picha na WHUSM – Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad