HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 29, 2019

WAZIRI MKUU AENDELEA NA MKUTANO WA TICAD 7


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi (wapili kushoto) wakizungumza na Profesa Mark Rweyemamu ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha SACIDS Foundation for One Health chenye makao yake mkoani Morogoro (wapili kulia) na Profesa Gerlad Masinzo ambaye ni Kiongozi wa Kituo hicho katika Mkutano wa Saba wa TICAD unaoendelea kwenye Hoteli ya Pacifico Yokohama nchini Japan, Agosti 29, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad