HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 16, 2019

HUDUMA ZA TIGO ZAVUTIA MKUTANO WA SADC JIJINI DAR ES SALAAM

Naibu Waziri Viwanda na Biashara, Mhandisi Stella Manyanya akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya Simu ya Tigo alipotembelea banda la maonyesho wakati wa mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaoendelea jijini Dar es Salaam, Tanzania, ambapo Tigo ndio wadhamini rasmi wa Wi-Fi inayotumika katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad