HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 18, 2019

SUA yajiimarisha katika utoaji wa elimu bora

Wanafunzi wakisoma machapisho  ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha  Kilimo (SUA) wakati walipotembelea Banda la SUA katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Afisa Udahili John Lyatuu wa SUA akifanya udahili wa Wanafunzi katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wakiwa katika banda SUA katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Huduma zikiendelea
Makamu Mkuu wa Chuo cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Profesa Raphael Chibuda akiwa picha ya pamoja Wafanyakazi wa Chuo hicho katika Maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja.
Makamu wa Mkuu wa Chuo Cha SUA Profesa Raphael Chibuda akijadiliana na Watendaji Wakuu katika Vyuo Vikuu katika maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Profesa Raphael Chibuda akizungumza na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam William Anangisye katika ufunguzi maonesho ya Vyuo Vikuu yanayofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad