HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 16, 2019

Robert Lowassa na Stephanie Kaaya walivyomeremeta jijini Arusha, Watu mashuhuri wahudhuria harusi yao

Bwana harusi Robert Lowassa akimvisha pete Mkewe Stephanie Kaaya wakati wakifunga ndoa yao  takatifu mwishoni mwa wiki iliyoisha katika Kanisa la KKKT Jijini Arusha, na kufuatiwa na sherehe baab'kubwa katika Bustani ya Kiringa iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Kitaifa, Kidini na watu wengi mashuhuri. Robert  ni Mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa.
Bwana harusi Robert Lowassa akivishwa pete ya ndoa na Mkewe Stephanie Kaaya wakati wakifunga ndoa yao  takatifu mwishoni mwa wiki iliyoisha katika Kanisa la KKKT Jijini Arusha,

Maharusi wakiwa na familia zao. Wa tatu kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa ambaye ni Baba wa Bwana harusi na watatu kushoto ni Mama wa Bwana Harusi, Mama Regina Lowassa.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akiwapongeza maharusi wanati wa sherehe yao iliyofanyika, katika Bustani ya Kiringa, Jijini Arusha mwishoni mwa wiki.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa .
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa .
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiwapongeza maharusi wanati wa sherehe yao iliyofanyika, katika Bustani ya Kiringa, Jijini Arusha mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Biashara na Viwanda, Amina Salum Ali akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa .
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa rais Zanzibar Mhe: Mohamed Aboud Mohamed akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa wakati alipofika kwenye sherehe ya harusi ya kijana wake, Robert Lowassa.

Mmoja wa Wanasiasa Wakongwe na Rafiki Mkubwa wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, Rostam Aziz akilipowasili kwenye sherehe hiyo.







No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad