HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, July 18, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KONGWA,MBANDE MKOANI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara wa nyama katika eneo la Mbande mkoani Dodoma mara baada ya kuzungumza nao.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wafanyabiashara pamoja na Wananchi wa Mbande hawaonekani (pichani) katika Njiapanda ya Kongwa mara baada ya kusimama wakati akitokea Kongwa mkoani Dodoma.
Wafanyabiashara pamoja na Wananchi wa Mbande mkoani Dodoma wakishangilia wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati aliposimama na kuzungumza nao katika eneo hilo la Mbande.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akicheza mziki kwenye gari wakati akiondoka eneo la Mbande mara baada ya kuwasalimia wananchi wa eneo hilo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na wafanyabiashara wa nyama katika eneo la Mbande mkoani Dodoma mara baada ya kuzungumza nao.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo Wamachinga katika eneo la Mbande mnadani wakati akitokea Kongwa mkoani Dodoma.
Mfanyabiashara ndogondogo Lukas Chanzi akimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati akizungumza katika eneo hilo la mnadani Mbande mkoani Dodoma. PICHA NA IKULU 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo Wamachinga katika eneo la Mbande mnadani wakati akitokea Kongwa mkoani Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad