HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, July 3, 2019

NAIBU WAZIRI HAMAD MASAUNI AKUTANA NA BOLOZI WA UFARANSA NCHINI

 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Fredrick  Clavier katika Ofisi ndogo ya Wizara iliyopo Jijini Dar es Salaam (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia)  akimsikiliza  Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Fredrick  Clavier (katikati) Pamoja na Meneja wa Mauzo wa kampuni ya Air bus Helicopter Laurent Bouvillon kushoto  katika Ofisi ndogo ya Wizara iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Fredrick  Clavier akimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni katika Ofisi ndogo ya Wizara iliyopo Jijini Dar es Salaam (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad