Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Fredrick Clavier katika Ofisi ndogo ya Wizara iliyopo Jijini Dar es Salaam (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia) akimsikiliza Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Fredrick Clavier (katikati) Pamoja na Meneja wa Mauzo wa kampuni ya Air bus Helicopter Laurent Bouvillon kushoto katika Ofisi ndogo ya Wizara iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania, Fredrick Clavier akimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni katika Ofisi ndogo ya Wizara iliyopo Jijini Dar es Salaam (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
No comments:
Post a Comment