HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 23, 2019

MWENYEKITI WA BARAZA LA USHAURI LA BUNGE LA ZHEJIANG, CHINA ATEMBELEA BUNGE LA TANZANIA

 Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akizungumza kwa niaba ya Mhe. Spika na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun na Ujumbe wake Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun akimuelezea jambo Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu wakati wa kikao katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
  Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu (kulia) katika picha ya pamoja  na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun na Ujumbe wake Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu (kulia) katika picha ya pamoja  na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun na Ujumbe wake Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu ( wanne kutoka kulia) katika picha ya pamoja  na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun (wanne kutoka kushoto) wengine katika picha ni wasaadizi wa Viongozi hao. PICHA ZA BUNGE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad