HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 9, 2019

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU KWENYE ZIARA NCHINI MISRI

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na mwenyeji wake, Waziri Mkuu ya Jamhuri ya Kiarabu Misri, Dkt. Moustafa Madbuoly, kabla ya mazungumzo rasmi kati ya Tanzania na Misri, katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa Misri, mjini Cairo, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa na mwenyeji wake, Waziri Mkuu ya Jamhuri ya Kiarabu Misri, Dkt. Moustafa Madbuoly katika mazungumzo rasmi kati ya Tanzania na Misri, katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa Misri, mjini Cairo, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa na mwenyeji wake, Waziri Mkuu ya Jamhuri ya Kiarabu Misri, Dkt. Moustafa Madbuoly, baada ya mazungumzo rasmi kati ya Tanzania na Misri, nje ya Ofisi ya Waziri Mkuu wa Misri, mjini Cairo, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Uwekezaji, Dkt. Sahar Nasr, kabla ya kukutana na Wawekezaji kutoka Misri, katika Hoteli ya Almasaa mjini Cairo Misri, Julai 8.2019. 

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Wawekezaji kutoka Misri, katika Hoteli ya Almasaa mjini Cairo Misri, Julai 8.2019. 
 Wawekezaji kutoka Misri, wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alipozungumza nao, katika Hoteli ya Almasaa mjini Cairo Misri, Julai 8.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad