
Mshindi wa Shindano la Tuzo Pointi linaloendeshwa na kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania, Ramadhani Mohamedi (kulia) mkazi wa Chang'ombe Jijini Dodoma, akikabidhiwa zawadi ya hundi ya shilingi laki tano (500,000) na Meneja Biashara na Mkakati wa Mauzo wa kampuni ya Vodacom Tanzania, kanda ya kati, Baraka Siwa, makabidhiano hayo yalifanyika katika ofisi za Vodacom Kanda ya Kati zilizopo eneo la Kilimani Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment