HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 26, 2019

MWENYEKITI MPYA WA BODI YA WAKALA WA NISHATI VIJIJINI AKUTANA NA MENEJIMENTI NA WATUMISHI WA REA

 Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akizungumza na Menejimenti na Wafanyakazi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma.Mwenyekiti uyo amewataka wafanyakazi hao kufanikisha azma ya Serikali ya kufikisha umeme kila kijiji inatimia kufikia mwaka 2021.
 Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akizungumza na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma.
 Kaimu Mkurugenzi wa REA Mhandisi Jones Olotu akimkaribisha Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo katika Ofisi za Wakala wa Nishati Vijijini JIjini Dodoma.
 Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo

 Baadhi ya wajumbe wa Menejimenti wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo(hayupo pichani) wakati akizungumz anao Jijini Dodoma.
 Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akiwa katika picha ya pamoja baadhi ya Wafanyakazi wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma.
 
Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakala wa Nishati Vijijini Wakili Julius Kalolo akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Jijini Dodoma. Picha na Daudi Manongi,MAELEZO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad