HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, June 30, 2019

IGP SIRRO AWASILI MKOANI MTWARA


  Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro leo akiwasili mkoani mtwara kwa ajili ya kujiridhisha kutokea kwa mauaji ya watanzania tisa baada ya kupigwa risasi Juni 26 mwaka huu na watu wanaodaiwa kuvalia sare aina ya jeshi katika kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pembezoni wa mto Ruvuma.
 Mkuu wa jeshi la polisi nchini Simon Sirro leo akiwa katika sehemu ya kupokea paredi la heshima kutoka kwa jeshi la polisi mkoani mtwara baada ya kuwaasili mkoani humo kwa ajili ya kujiridhisha kutokea kwa mauaji ya watanzania tisa baada ya kupigwa risasi Juni 26 mwaka huu na watu wanaodaiwa kuvalia sare aina ya jeshi katika kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pembezoni wa mto Ruvuma.
 Wananchi wa kijiji cha Kihamba kilichopo halmashauri ya wilaya ya mtwara mkoani mtwara jana wakipokea miili ya watanzania 9 waliouwa baada ya kupigwa risasi Juni 26 mwaka huu na watu wanaodaiwa kuvalia sare aina ya jeshi katika kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pembezoni wa mto Ruvuma.
 Mwenyekiti wa kijiji cha Kihamba kilichopo halmashauri ya wilaya ya mtwara mkoani mtwara Abdurahamani Saidi aliyekaa chini jana akitoa ushuhuda kwa waandishi wa habari waliotembelea katika eneo hilo la tukio baada na kunusurika kifo kufutatia mauji ya watanzania 9 waliofariki kwa kupigwa risasi Juni 26 mwaka huu na watu wanaodaiwa kuvalia sare aina ya jeshi katika kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pembezoni wa mto Ruvuma.

Watanzania wakirejea hapa nchini kwao wakitokea nchi jirani ya Msumbiji baada ya kutokea kwa mauaji ya watanzania 9 waliofariki kwa kupigwa risasi Juni 26 mwaka huu na watu wanaodaiwa kuvalia sare aina ya jeshi katika kijiji cha Mtole kilichopo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji pembezoni wa mto Ruvuma. (PICHA NA FATNA MWINYIMKUU)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad