HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 18, 2019

IGP SIRRO AMETETA NA MAOFISA NA WAKAGUZI WA POLISI KATIKA VIWANJA VYA BWALO LA MAAFISA WA POLISI OYSTERBAY

 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akisalimiana na kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Liberatus Sabas, wakati alipowasili katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay  jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuzungumza na Maofisa na Wakaguzi wa Jeshi hilo. 
 Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akimsikiliza Mkuu wa Utawala wa Jeshi la Polisi DCP Lucas Mkondya (aliyesimama) wakati akitoa hotuba mbele ya maofisa na wakaguzi (hawapo Pichani) kwenye kikao cha kuwajengea uwezo wa kiutendaji na kuwakumbusha wajibu wao. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na makamishna wa jeshi hilo baada ya kumaliza mkutano uliowahusisha maofisa na wakaguzi kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji, kutoka kulia kwake ni Kamishna wa kamisheni ya Ushirikishwaji wa Jamii CP Mussa A. Mussa na kushoto kwake ni Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Liberatus Sabas. (Picha na Jeshi la Polisi).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad