Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango akiwasili katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya kusoma Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2019/2020 Jijini Dodoma, Juni 13.2019.
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, akisoma Bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2019/2020, Bungeni jijini Dodoma, Juni 13.2019.
No comments:
Post a Comment