HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 11, 2019

BETHEL MISSION SCHOOL YATOA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANANCHI


Mkurugenzi wa Bethel Mission School, Emmanuel Mshana, akitoa hotuba ya utangulizi, kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi kufungua mafunzo ya Ujasiriamali kwa ajili ya wafanyakazi wa shule hiyo pamoja wananchi kutoka maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, Leo. Semina hiyo ya siku tano itakayohusu mafunzo ya ujasiriamali yanafanyika kwenye viwanja vya Shule hiyo iliyopo Manispaa ya Ubungo ambazo zaidi ya washiriki 450 wamehudhuria.

Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manisapaa ya Ubungo, Jaffari Kunambi, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina hiyo ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.

Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe, George Yatera, akitoa mada katika semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.

Meneja Biashara wa Benki ya CRDB tawi la Azikiwe, George Yatera, akitoa mada katika semina ya wajasiriamali iliyoandaliwa na Bethel Mission School jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.


Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.

Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad