HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 3, 2019

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama, akifurahia jambo na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu, Stella Ikupa, Bungeni jijini Dodoma Mei 3, 2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
   Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa, Bungeni jijini Dodoma Mei 3, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mbunge wa Nachingwea, Hassan Masala, katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma Mei 3, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad