Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiandamana kuingia katika Uwanja wa Uhuru wakati wa maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyoadhimisha kitaifa mkoani Mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja Uhuru leo Jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakiandamana kuingia katika Uwanja wa Uhuru wakati wa maandamano ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani iliyoadhimisha kitaifa mkoani Mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja Uhuru leo Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) katika picha ya pamoja baada ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kitaifa mkoani Mbeya na kusherehekewa na wafanyakazi wa mkoa wa Dar es Salaam katika Uwanja wa Uhuru leo Jijini Dar es Salaam
Picha na: Genofeva Matemu - JKCI
No comments:
Post a Comment