HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 29, 2019

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAKABIDHI ZAWADI ZA KOMPUTA MPAKATO (LAPTOP) KWA WASHINDI WA HACKTHON

 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kushoto)  akimkabidhi  Kompyuta mpakato (laptop) mwanafunzi wa  mwaka wa Tatu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ( UDSM) Kelvin Boya  baada ya kuibuka  mshindi wa shindano la ubunifu wa Suluhisho la Teknohama ya kufikisha elimu  vijijini  (Hackathon) lililodhaminiwa na  Vodacom Tanzania Foundation kupitia mradi wa “Instant  Schools” lililofanyika  wakati wa maadhimisho ya wiki ya Ubunifu ( Innovation week ) jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kushoto)  akimkabidhi  Komputa mpakato (laptop)   John Alfred  ambaye ni mwanamfunzi wa  mwaka wa Tatu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ( UDSM) baada ya  kuibuka  mshindi wa shindano la  ubunifu wa Suluhisho la Teknohama ya kufikisha elimu  vijijini  (Hackathon) lililothaminiwa na  Vodacom Tanzania Foundation   kupitia mradi wa “Instant  Schools” lililofanyika wakati wa maadhimisho ya  wiki ya Ubunifu ( Innovation week ) jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kushoto)  akimkabidhi  Komputa mpakato (laptop)   Essa Mohamedali   mwanafunzi wa  mwaka wa kwanza  Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) baada ya  kuibuka  mshindi wa shindano la  ubunifu wa Suluhisho la Teknohama ya kufikisha elimu  vijijini  (Hackthon) lililodhaminiwa na  Vodacom Tanzania Foundation   kupitia mradi wa “Instant  Schools” lililofanyika  wakati wa maadhimisho  ya wiki ya Ubunifu ( Innovation week ) jijini Dar es Salaam.
 Washindi wa  shindano la  ubunifu wa Suluhisho la Teknohama ya kufikisha elimu  vijijini  (Hackathon) lililodhaminiwa na  Vodacom Tanzania Foundation   kupitia mradi wa “Instant  Schools”  lililofanyika wakati wa maadhimisho ya  wiki ya Ubunifu ( Innovation week ) jijini Dar es Salaam, Essa Mohamedali (kulia) John Alfred na Kelvin Boya wote wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) wakimsikiliza mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kushoto) wakati walipotembelea ofisi za kampuni hiyo ambapo walikabidhiwa zawadi zao za Komputa mpakato (laptop ) kila mmoja.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Kelvin  Boya, John Alfred na Essa Mohamedali ambao ni Washindi wa shindano la  ubunifu wa Suluhisho la Teknohama ya kufikisha elimu  vijijini  (Hackathon) lililodhaminiwa na  Vodacom Tanzania Foundation   kupitia mradi wa “Instant  Schools” lililofanyika  wakati wa maadhimisho ya wiki ya Ubunifu ( Innovation week ) jijini Dar es Salaam, wakifurahia Komputa zao mara baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kushoto)   wakati wa hafla iliyofanyika katika makao makuu ya Kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad