HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, May 1, 2019

Tume ya Utumishi wa Walimu yaadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani

 Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakiwa wamebeba bango wakati wa Maandandano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika Mei 1, 2019 jijini Dodoma.
  Wafanyakazi wa Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wakiwa wamebeba bango wakati wa Maandandano ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika Mei 1, 2019 jijini Dodoma.
 Wafanyakazi wa TSC wakiwa katika maandamano kuelekea uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
 Wafanyakazi wa TSC wakiwa ndani ya uwanja wa Jamhuri wakati wa maandamano ya kuadhimisha siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika Mei 1, 2019 jijini Dodoma.
Wafanyakazi wa TSC wakipita mbele ya mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika Mei 1, 2019 katika uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad