HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 3, 2019

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA CHAMA CHA WANASHERIA TANGANYIKA (TLS) JIJINI DODOMA

 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Rugemeleza Nshala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Rugemeleza Nshala (katikati) na Mjumbe wa Chama hicho, Ndg. Harold Sungusia walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akizungumza na Ugeni kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
 Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akipokea zawadi ya ‘note book’/daftari ndogo ya dondoo kutoka kwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Rugemeleza Nshala alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu
Spika wa Bunge, Job Ndugai (wa sita kulia) akiwa katika picha ya pamoja na ugeni kutoka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa tano kulia ni Rais wa Chama hicho, Dkt. Rugemeleza Nshala

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad